Kongamano la Kitaifa la Wadau wa Tasnia ya Ngozi 2026 linawakutanisha viongozi wa serikali, wafugaji, wawekezaji, wajasiriamali, wabunifu, na wataalamu wa mnyororo wa thamani wa ngozi kuanzia shambani hadi sokoni. Lengo: kuleta Mapinduzi ya Ngozi kwa Uchumi Endelevu.
Ushindani wa kimataifa, soko, na uwekezaji.
Ubora wa ngozi, uvunaji endelevu.
Fursa za biashara, mitaji, ajira.
Ukumbi wa Mikutano Jakaya Kikwete (JKCC), Dodoma, Tanzania
Picha za bidhaa za ngozi





